Simplisiani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Simplisiani wa Milano

Simplisiani wa Milano (Brivio, Lombardia, Italia, 320 hivi - Milano, 401) alikuwa Askofu wa mji huo tangu mwaka 397 hadi kifo chake.

Alichaguliwa na Ambrosi wa Milano kuwa mwandamizi wake. Augustino wa Hippo alimsifu pia[1]. Ni kwamba Simplisiani alipokuwa padri aliwasaidia wote wawili kujiandaa kwa ubatizo kama alivyofanya kwa mwanafalsafa Viktorino.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Agosti[2] ila Milano ni 14 Agosti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The meeting between Augustine and Simplican occurred in Milan in 386 and it is recorded in Augustine's Confessions. After his conversion, Augustine also called Simplician father, and in 397 he dedicated to Simplician two books on the issue of predestination, known as De Diversis Quaestionibus ad Simplicianum.
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.