Simon Nyakoro Sirro
Mandhari
(Elekezwa kutoka Simon nyakoro sirro)
| Tarehe ya kuzaliwa | 1963 |
|---|---|
| Mahali pa kuzaliwa | Butiama, Mkoa wa Mara, Tanzania |
| Taifa | Mtanzania |
| Elimu | Iliboru Secondary School Tosamaganga Secondary School |
| Kazi | Afisa wa Polisi, Diplomat |
| Wadhifa | Inspekta Jenerali wa Polisi wa 10 wa Tanzania (2017–2022) |
| Mtangulizi | Ernest Mangu |
| Mrithi | Camillus Wambura |
| Maraisi Aliowatumikia | John Magufuli (2017–2021) Samia Suluhu (2021–2022) |
| Diplomasia | Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe (kuanzia 19 Julai 2022) |
| Mtangulizi (Ubalozi) | Prof. Emmanuel D. Mbennah |
| Idara | Jeshi la Polisi Tanzania |
| Vyeo | Inspekta Jenerali wa Polisi |
| Hali | Amestaafu (Retired) |
Simon Nyakoro Sirro (alizaliwa Butiama, Mkoa wa Mara, 1963) ni mwanadiplomasia aliyewahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania.
Mwaka 2022, aliteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe na Rais Samia Suluhu Hassan.[1][2][3][4][5]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.tzembassy.go.tz/ambassadors/view/simon-nyakoro-sirro
- ↑ https://www.dw.com/sw/simo-sirro/t-43238457
- ↑ https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/habari-ya-ndani/simon-sirro-huyu-ndiye-igp-aliyetamani-kuwa-padri-2850712
- ↑ https://www.zw.tzembassy.go.tz/about/staff/category/diplomatic-staff
- ↑ https://dailynews.co.tz/pm-urges-envoys-to-lure-investors-find-markets-for-tz-products/
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Simon Nyakoro Sirro kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |