Siasa ya Kodivaa
|
Nembo ya Taifa ya Côte d'Ivoire | |
| Aina ya Serikali | Jamhuri ya urais ya vyama vingi |
| Rais wa Nchi | Alassane Ouattara |
| Makamu wa Rais | Tiémoko Meyliet Koné |
| Chama Tawala | RHDP |
| Vyama Vikuu | RHDP, PDCI-RDA, FPI, PPA-CI, MGC |
| Uchaguzi wa Mwisho | Septemba 2023 (Mitaa na Mikoa) |
| Uchaguzi Ujao | 25 Oktoba 2025 (Urais) |
| Katiba | Katiba ya mwaka 2016 (iliyorekebishwa 2020) |
| Cote d'Ivoire |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Serikali ya Kodivaa, (Côte d'Ivoire, Ivory Coast) inachukua nafasi katika mfumo wa uwakilishi wa uraisi katika jamhuri ya kidemokrasia, ambapo Rais wa Kodivaa ni mkuu wa nchi na vilevile ni kiongozi wa serikali, na inafuata mfumo wa vyama vingi. Nguvu ya kiutendaji hutimizwa na serikali tu. Suala la utunzi wa sheria hutekelezwa kwa njia ya serikali yenyewe au bunge.
Mji mkuu rasmi tangu 1983 ni Yamussukro; hata hivyo, Abidjan unabaki kuwa kitovu cha utawala. Nchi nyingi huweka balozi zao mjini Abidjan, ijapokuwa baadhi yao (ikiwa ni pamoja na Uingereza) wamefunga harakati zao kwa sababu ya fujo zinaoendelea na ushambuliaji dhidi ya Wazungu. Wakazi wanaendelea kupata shida kwa kufuatia vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.
Shirika la kimataifa la haki za binadamu limeng'amu matatizo ya uchukuliwaji mateka wa watu ambao si wapiganaji pande zote mbili na uchipukaji upya wa utumwa wa watoto katika uzalishaji ya kakao. Tangu tukio la Septemba 19, mwaka 2002, vita ya wenyewe ilivyoisha, na upande wa kaskazini wa nchi ukawa umechukuliwa na waasi, Vikosi Vipya (FN).
Uchaguzi mpya wa rais ulikuwa unatarajiwa ufanyika mnamo mwezi wa Oktoba 2005. Hata hivyo, uchaguzi huu mpya haukuweza kufanya kwa muda uliotakikana kwa kufuatia kucheleweshwa kwa maandalizi na ukaghailishwa hadi mnamo mwezi wa Oktoba 2006 baada ya makubaliano ya pande zote mbili za vyama hasimu kuafikiana. Baada ya uchelewesho wa muda mrefu, hatimaye uchaguzi ukafanyika mnamo 2010.
Vingo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Siasa ya Kodivaa Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |