Nenda kwa yaliyomo

Shoji Ueda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Shoji Ueda ( 1 Januari 193816 Januari 2025) alikuwa mpiga picha wa filamu kutoka Japani. Alifanya kazi mara kadhaa na mtengenezaji wa filamu Akira Kurosawa. Aliwahi kuteuliwa kwa tuzo ya academy ya upigaji picha bora wa filamu kwa kazi yake katika filamu Ran (1985). [1]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shoji Ueda kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.