Sharon Barker

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sharon E. Barker (alizaliwa 1949) ni mwanaharakati na mtetezi wa haki za wanawake, afya ya wanawake.

Ni mkurugenzi mwanzilishi wa kituo cha rasilimali za wanawake katika Chuo Kikuu cha Maine na pia mmoja wa waanzilishi na raisi wa kwanza wa Mabel Sine Wadsworth kituo cha afya ya wanawake huko Bangor, Maine. Kwa zaidi ya miaka 30 ametetea wanawake na wasichana katika maeneo ya huduma za afya, usawa wa kijinsia, unyanyasaji wa kijinsia, na haki za uzazi. Aliingizwa katika Maine Women's Hall of Fame mnamo mwaka 2009.


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sharon Barker kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.