Shalumu wa Israeli
Mandhari

Shalumu wa Israeli (kwa Kiebrania שַׁלּוּם, Šallūm, yaani Malipo) alikuwa mtawala wa Ufalme wa Israeli kwa mwezi mmoja tu, baada ya kumuua mfalme Zekaria hadi alipouawa mwenyewe na Menahemu (752 KK hivi).
Habari zake zinapatikana hasa katika Kitabu cha Pili cha Wafalme 15:10-15.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Shalumu wa Israeli kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |