Severino wa Koln

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu za Wat. Eberigisili na Severino, mnara wa ukumbi wa mji wa Cologne.

Severino wa Koln (Worms, 320 hivi; Cologne, 403) alikuwa Askofu wa Cologne, aliyepinga sana uzushi wa Ario[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Oktoba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.