Setrida
Mandhari
Setrida (jina asili: Sǣþrȳð pia: Sæthryth, Sedrido, Sethrida, Saethrid; alifariki Faremoutiers-en-Brie, karibu na Meaux, Ufaransa, 660 hivi) alikuwa binti wa kufikiwa wa mfalme Anna wa Anglia Mashariki[1], katika Uingereza wa leo, halafu mmonaki na hatimaye abesi[2] wa monasteri dabo iliyoanzishwa na Fara [3]. Aliongoza kwa uadilifu na busara kubwa [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Januari.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Wragg, Stefany. Early English Queens, 650–850, Taylor & Francis, 2022, p. 222 ISBN 9781000595222
- ↑ Feast day List - St. Saethryth - Saints & Angels - Catholic Online
- ↑ "The Anglo-Saxons and the origins of The English People 410 - 865", The St Edmundsbury Chronicle
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/98106
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |