Seti kibambo baiti mbili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Katika utarakilishi, seti kibambo baiti mbili (kwa Kiingereza: double-byte character set; kifupi: DBCS) ni usimbaji wa herufi ambamo herufi zote zinasimbwa na baiti mbili.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.