Semuto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Semuto katika ramani ya Uganda kama ambavyo inaonekana katika majiranukta Coordinates: 00°37′12″N 32°19′40″E / 0.62000°N 32.32778°E / 0.62000; 32.32778

Semuto ni mji katika Mkoa wa Kati huko Uganda. Ni moja ya maeneo ya mji katika Wilaya ya Nakaseke.

Mahali[hariri | hariri chanzo]

Semuto iko takribani kilomita 36 (maili 22 ), kwa barabara, kaskazini magharibi mwa Matugga kwenye barabara ya Matugga - Kapeeka.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Road Distance Between Matugga And Semuto With Map. Globefeed.com. Iliwekwa mnamo 20 July 2014.