Mto Semu
(Elekezwa kutoka Semu (mto))
Mto Semu unapatikana katika mkoa wa Shinyanga nchini Tanzania, kilometa 290 kaskazini kwa mji mkuu, Dodoma.
Ni tawimto pekee wa mto Sibiti unaounganisha ziwa Eyasi na ziwa Kitangiri.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mto Semu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |