Sekundi wa Aleksandria
Mandhari
(Elekezwa kutoka Sekundi mfiadini)
Sekundi wa Aleksandria (alifariki Aleksandria, 353 hivi) ni kati ya mapadri Wakatoliki wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Konstanti II aliyefuata Uario.
Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |