Scipione Rebiba
Mandhari
Scipione Rebiba (3 Februari 1504 – 23 Julai 1577) alikuwa askofu mkuu wa Italia wa Kanisa Katoliki, mfuasi wa Gian Pietro Carafa, ambaye baadaye alikuwa Papa Paulo IV. Alishika nafasi mbalimbali katika uongozi wa Kanisa, ikiwa ni pamoja na baadhi ya zile za juu zaidi. Alianzisha Baraza la Kuhukumu Wazushi huko Napoli katika miaka ya 1550 akawa kardinali mwaka 1555.[1][2][3][4] Kati ya maaskofu zaidi ya 5,000 za Kanisa Katoliki la leo, 98% wametokana naye katika mlolongo wa Kitume, wakiwemo Papa Leo XIV na watangulizi wake wengi mfululizo.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ G. Gulik and C. Eubel, Hierarchia catholica editio altera (curavit J. Schmitz-Kallenberg) (Monasterii 1935), 251.
- ↑ H. C. Lea, The Inquisition in its Spanish Dependencies (New York 1922), p. 78.
- ↑ Niccolò del Re, Monsignor Governatore di Roma (Roma: Istituto di studi Romani 1972), 60, 84–85.
- ↑ Miranda, Salvador. "REBIBA, Scipione (1504-1577)". The Cardinals of the Holy Roman Church. Florida International University. OCLC 53276621.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |