Sarah Nakisanze
Mandhari
Sarah Nakisanze ni mbunifu wa mitindo, mwalimu, na mtafiti kutoka Kampala, Uganda, anayejulikana kwa kazi yake ya vifaa vya asili, hasa kitambaa cha gome, katika muundo wa bidhaa-ikolojia.
Wasifu
[hariri | hariri chanzo]Nakisanze ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Makerere katika skuli ya Margaret Trowel ya sanaa na viwanda na hushirikiana na jumuiya za mafundi ili kukuza usanifu endelevu na ufundi. Utafiti wake huzingatia utamaduni wa mitindo, nyenzo, na mahusiano ya kibiashara kati ya Kaskazini na Kusini.[1][2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "When Nakisanze merged high fashion with craft making practices". Monitor (kwa Kiingereza). 2021-11-06. Iliwekwa mnamo 2024-11-17.
- ↑ "Sarah Nakisanze - The startup story of an entrepreneur in Uganda celebrating traditional barkcloth fabric and reinventing it in great new design pieces". Lionesses of Africa (kwa American English). 2016-03-17. Iliwekwa mnamo 2024-11-17.