Sara Naeini
Mandhari
Sara Naeini (alizaliwa Shiraz, Irani, 23 Julai 1981) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Irani.
Wasifu
[hariri | hariri chanzo]Sara Naeini alirithi uwezo wake wa kimuziki kutoka kwa mama yake, Hoorvash Khalili|fa|حوروش خلیلی, ambaye ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Irani. Alifanya tamasha lake la kwanza mwaka wa 1999. [1]
Sara Naeini kwa sasa anafundisha muziki na ana shahada ya kwanza katika usanifu wa michoro kutoka Chuo cha Ufundi cha Shariaty kwa wasichana huko Tehran.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "سارا از تهران - معرفی و شنيدن آهنگهاش". بیبیسی فارسی.