Mkonge

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Sansevieria)
Mkonge
Mkonge wa Fischer (Sansevieria fischeri)
Mkonge wa Fischer (Sansevieria fischeri)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja tu)
Oda: Asparagales (Mimea kama mwinikanguu)
Familia: Asparagaceae (Mimea iliyo mnasaba na mwinikanguu)
Jenasi: Sansevieria (Mikonge)
Thunb.
Ngazi za chini

Spishi nyingi; katika Afrika ya Mashariki:

Mikonge ni mimea ya jenasi Sansevieria katika familia Asparagaceae. Majani yao huitwa makonge. Jina hili limesilikiwa kwa Agave sisalana (mkonge dume unaolimwa kwa uzalishaji wa katani) na spishi nyingine za jenasi Agave (mkonge-pori).

Spishi za Afrika ya Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkonge kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.