Sam Mbulaiteye
Mandhari

Sam Mbulaiteye (alizaliwa mwaka 1961), akijulikana pia kama Sam M. Mbulaiteye, ni daktari-mwanasayansi na mtaalamu wa magonjwa ya mlipuko kutoka Uganda anayefanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Burkitt lymphoma. Pia ni mtafiti mwandamizi katika Taasisi ya Taifa ya Saratani (NCI).[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Sam MBULAITEYE | Senior Investigator | MBChB, MPhil, MMed | National Cancer Institute (USA), Bethesda | NCI | Division of Cancer Epidemiology and Genetics | Research profile". ResearchGate (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-01-20. Iliwekwa mnamo 2025-12-16.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sam Mbulaiteye kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |