Nenda kwa yaliyomo

Salamanca

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Salamanca ni mji wa Hispania, mji mkuu wa mkoa wa Salamanca.

Mwaka 2019 wakazi wake walikuwa 144,228 [1] na kuufanya wa arubaini na nne nchini kwa wingi wa watu.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Cifras oficiales de población resultantes de la revisión del Padrón municipal a 1 de enero. Detalle municipal". INE.
Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Salamanca kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.