Saidi Juma Nkumba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Said Juma Nkumba)

Saidi Juma Nkumba (amezaliwa 17 Aprili, 1962) ni mbunge wa jimbo la Sikonge katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Saidi Juma Nkumba". 25 Aprili 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-27. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.