Sabine Sicaud
Mandhari
Sabine Sicaud (23 Februari 1913 – 12 Julai 1928) alikuwa mshairi mwenye umri mdogo alipoanza kazi ya uandish, kutoka nchini Ufaransa.[1] Alijulikana kwa kipaji chake kikubwa cha ushairi alichokionyesha tangu akiwa mdogo sana kabla ya kufariki dunia mapema akiwa na umri wa miaka 15 kutokana na ugonjwa.[2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Sabine Sicaud (1913-1928)". BnF Data (kwa Kifaransa). Bibliothèque nationale de France. Iliwekwa mnamo 18 Mei 2026.
- ↑ "Makala ya Sabine Sicaud katika Wikipedia ya Kiingereza" (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 18 Mei 2026.
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sabine Sicaud kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |