Nenda kwa yaliyomo

Rwandan Patriotic Front

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rwandan Patriotic Front (kifaransa: Front patriotique rwandais, FPR) ni chama tawala nchini Rwanda.[1]

RPF ilianzishwa mnamo Desemba 1987 na Watutsi wa Rwanda waliokuwa uhamishoni nchini Uganda kwa sababu ya ghasia za kikabila zilizotokea wakati wa Mapinduzi ya Wahutu Rwanda mwaka 1959-1962.[2][3] Mnamo 1990, RPF ilianzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Rwanda katika jaribio la kupindua serikali, ambayo ilitawaliwa na Wahutu. Baadaye, mauaji ya halaiki ya Rwanda yalitokea ambayo yalimalizika tarehe 4 Julai kwa ushindi wa RPF wa nchi nzima. [4][5][6] Chama cha RPF kimetawala nchi tangu wakati huo kama taifa la chama kimoja, na kiongozi wake wa sasa, Paul Kagame, akawa rais wa Rwanda mwaka wa 2000, mpaka sasa.[7]

  1. https://allafrica.com/stories/201809050092.html
  2. "Rwanda - A Chronology (1867-1994) | Sciences Po Mass Violence and Resistance - Research Network". www.sciencespo.fr (kwa Kiingereza). 2016-01-25. Iliwekwa mnamo 2025-04-10.
  3. Times Reporter (2011-07-01). "Rwanda's struggle for liberation". The New Times (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2025-04-10.
  4. "RPF-Inkotanyi Was Driven By Ideological Clarity And Visionary Leadership - Gen. Kabarebe". KT PRESS (kwa American English). 2023-04-11. Iliwekwa mnamo 2025-04-10.
  5. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-11-15. Iliwekwa mnamo 2025-04-10.
  6. Times Reporter (2014-07-07). "RPF ideology supersedes individuals". The New Times (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2025-04-10.
  7. Thomson, Susan (2018-04-24). Rwanda: From Genocide to Precarious Peace (kwa Kiingereza). Yale University Press. ISBN 978-0-300-23591-3.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rwandan Patriotic Front Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.