Rumoldi wa Mechelen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Rumoldi katika kasula ya Basilica of Our Lady of Hanswijk, Mechelen.

Rumoldi wa Mechelen (pia: Rumbold, Rumold, Romuold, Rumoldus, Rombout, Rombaut; 720 hivi - Mechelen, leo nchini Ubelgiji, 775[1]) alikuwa mkaapweke[2][3], na labda askofu, kutoka visiwa vya Britania.

Aliuawa na watu wawili aliowaonya kwa uovu wao[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 24 Juni[5][6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. van Eck, Xander (2015). "The high altar of the archiepiscopal cathedral of Mechelen: St Rumbold's grand reliquary and tomb". Simiolus: Netherlands Quarterly for the History of Art 38 (4): 213–227. ISSN 0037-5411. JSTOR 26382631. 
  2. Mulder-Bakker, Anneke; Carasso-Kok, Marijke (1997). Gouden legenden : heiligenlevens en heiligenverering in de Nederlanden. Verloren. uk. 145. ISBN 9065502912. 
  3. Het leven van de heilige Gummarus. In Dutch, originally from 1940, but rewritten in 2008 by Hugo Neefs and republished by "de Gilde Heren van Lier".
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/91848
  5. Martyrologium Romanum
  6. "Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome – 'R' (for Rumoldus)". Iliwekwa mnamo 5 Jul 2011. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.