Rodrigo Duterte

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rodrigo Roa Duterte (pia anajulikana kama Digong na Rody; amezaliwa tarehe 28 Machi 1945) ni mwanasiasa wa Ufilipino ambaye ni Rais wa 16 wa Ufilipino.

Mnamo Oktoba 2021, Rodrigo Duterte alitangaza kwamba hakuwa akiwania nafasi ya makamu wa rais mnamo 2022 na atastaafu maisha ya kisiasa.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rodrigo Duterte kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.