Riyad Ghali
Mandhari
Riyad Ghali (11 Februari 1919 – 12 Julai 1987) alikuwa mume wa Fathia Ghali[1], binti mdogo wa Mfalme Fuad I na Nazli Sabri.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ ""NO DIVORCE," SAYS PRINCESS FATHIA". Sydney Morning Herald. 1950-05-20. Iliwekwa mnamo 2024-09-06.
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Riyad Ghali kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |