Rita Dove

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rita Dove, 2012

Rita Frances Dove (amezaliwa 28 Agosti 1952) ni mshairi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1987 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rita Dove kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.