Ricardo Vidal
Mandhari

Ricardo Tito Jamin Vidal (6 Februari 1931 – 18 Oktoba 2017) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki kutoka Ufilipino.
Aliteuliwa kuwa kardinali mwaka 1985 na aliwahi kuwa Askofu Mkuu wa Cebu kuanzia 1982 hadi 2010.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Cardinal Vidal as one of the First Communicants". International Eucharistic Congress 2016. Julai 6, 2014. Iliwekwa mnamo Oktoba 18, 2017.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |