Riana Nel
Mandhari
Riana Nel (alizaliwa 9 Novemba 1981) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Namibia. Baada ya kukua katika Windhoek alihamia Pretoria, Afrika Kusini, ili kuanza kazi yake.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "RIANA NEL – Great Christian Music from South Africa". Revolution of Praise. 22 Agosti 2010. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 10 Desemba 2012. Iliwekwa mnamo 12 Desemba 2011.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)