René-Marie Ehuzu
Mandhari
René-Marie Ehuzu (12 Aprili 1944 – 17 Oktoba 2012) alikuwa askofu wa Jimbo la Porto Novo, Benin, kutoka mwaka 2007 hadi alipofariki mwaka 2012.
Kabla ya kuwa askofu wa Porto Novo, alikuwa askofu wa Jimbo la Abomey, Benin, tangu mwaka 2002.
Alipata daraja ya upadri mwaka 1972 na aliteuliwa kuwa askofu mwaka 2002. Aliteuliwa kuwa askofu na Papa Yohane Paulo II tarehe 6 Januari 2002.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Profiles of Dozen New Bishops". Zenit. 6 Januari 2003. Iliwekwa mnamo 9 Juni 2019.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ René-Marie Ehuzu
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |