Rejista

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rejista (pia rejesta au sajili) ni matumizi ya lugha kulingana na muktadha maalum. Miktadha tofauti husababisha aina (kaida) mbalimbali za lugha.

Baadhi ya vipengele vya miktadha hiyo ni:

  1. Mada
  2. Mazingira
  3. Wakati
  4. Umri
  5. Cheo
  6. Jinsia
  7. Uhusiano baina ya wahusika
  8. Taaluma
  9. Kiwango cha elimu
  10. Lugha anazozijua mtu
  11. Tofauti ya kimatamshi
  12. Ujuzi wa lugha

Mifano ya rejista za lugha ni:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • TUKI 1990, "Kamusi Sanifu ya Isimu na Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
  • Massamba, David 2004, "Kamusi ya Isimu na Falsafa ya Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
  • Buliba, Aswani, Kimani Njogu & Alice Mwihaki 2006, "Isimujamii kwa Wanafunzi wa Kiswahili", Nairobi: The Jomo Kenyatta Foundation

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rejista kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.