Reduncinae

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 16:35, 11 Novemba 2014 na Rberetta (majadiliano | michango) (Ongeza elezo la nusuoda.)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)
Reduncinae
Mraye (Kobus kob)
Mraye
(Kobus kob)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia: Reduncinae (Wanyama wanaofanana na tohe)
Meyer, 1907
Ngazi za chini

Jenasi 2:

Kobus A. Smith, 1840
Redunca C. H. Smith, 1827

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Reduncinae ni nusufamilia ndogo katika familia Bovidae. Spishi zake zinafanana na tohe. Nusufamilia hii ina jenasi mbili ndani yake:

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.