Rebecca Nabutola
Mandhari
Rebecca M. Nabutola (alizaliwa 17 Januari 1959) ni aliyewahi kuwa Katibu Mkuu (Permanent Secretary – PS) wa Wizara ya Utalii na Wanyamapori ya Kenya. Nabutola alisoma katika Institute of Social Studies, The Hague, ambako alipata stashahada ya Mahusiano ya Kimataifa na Maendeleo, na pia katika Chuo Kikuu cha Nairobi, alikohitimu Shahada ya Sanaa (Bachelor of Arts).[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Rebecca Nabutola kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |