Rashid Chuachua
(Elekezwa kutoka Rashid Mohamed Chuachua)
Rashid Mohamed Chuachua (amezaliwa 15 Juni 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa Mbunge wa Masasi Mjini kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |