Rafka Petra
Mandhari


Rafka Petra Choboq Ar-Rayès, O.L.M. (kwa Kiarabu: رفقا بطرسيّة شبق ألريّس; Himlaya, 29 Juni 1832 – Jrebta, 23 Machi 1914), alikuwa mwanamke mmonaki wa Kanisa la Wamaroni nchini Lebanon.
Baada ya kujiunga la masista walimu alichukua nafasi ya kujifungia monasterini kwa maisha ya sala na toba zaidi, ambayo yaliendana na upofu kwa miaka 30 na maumivu mengi ya kiafya aliyoyapokea na kuyatoa kama sadaka akimtegemea Mungu tu [1].
Bikira huyo alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 16 Novemba 1985, halafu mtakatifu tarehe 10 Juni 2001.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Life of St. Rafqa on YouTube (English subtitle series movie)
- Another vita
- Rafca.org Saint Rafca Website
- Saints.SQPN
- Catholic Online
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |