Queen (albamu)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Queen
Studio album ya Queen
Imetolewa 13 Julai 1973
Aina Rock
Urefu 38:36
Lebo EMI (Ulaya)
Parlophone (Ulaya)
Elektra Records (Marekani)
Hollywood Records (Marekani)
Mtayarishaji John Anthony, Roy Thomas Baker, Queen
Wendo wa albamu za Queen
Queen
(1991)
Queen II
(1974)
Single za kutoka katika albamu ya Queen
  1. "Keep Yourself Alive"
    Imetolewa: 6 Julai 1973
  2. "Liar"
    Imetolewa: 14 Februari 1974


Queen ni albamu ya kwanza ya bendi Queen, ambayo ilitolewa mnamo mwezi wa Julai katika mwaka wa 1973. Ilirekordiwa Trident Studios na De Lane Lea Music Centre huko London. Watayarishaji walikuwa John Anthony, Roy Thomas Baker na Queen.

Nyimbo tano ziliandikwa na Freddie Mercury, nyimbo nne ziliandikwa na Brian Mei, na wimbo mmoja uliandikwa na Roger Taylor. Wimbo "Doing All Right" uliandikwa na Brian Mei na Tim Staffel, memba wa bendi Smile.

Orodha ya nyimbo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Keep Yourself Alive" (Mei) – 3:48
  2. "Doing All Right" (Mei/Staffell) – 4:09
  3. "Great King Rat" (Mercury) – 5:41
  4. "My Fairy King" (Mercury) – 4:08
  5. "Liar" (Mercury) – 6:26
  6. "The Night Comes Down (Mei) – 4:23
  7. "Modern Times Rock 'n' Roll" (Taylor) – 1:48
  8. "Son and Daughter" (Mei) – 3:21
  9. "Jesus" (Mercury) – 3:44
  10. "Seven Seas of Rhye..." (Mercury) – 1:15
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Queen (albamu) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.