Prospa wa Reggio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa ukutani wa karne ya 18 huko Rattenberg (Tirol), Austria.

Prospa wa Reggio (alifariki Reggio nell'Emilia, Italia, 25 Juni 466 hivi), alikuwa askofu wa mji huo, inasemekana kwa miaka 22.

Hakuna habari nyingi za maisha yake isipokuwa kwamba alikuwa amejaa upendo[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.