Privati wa Mende
Mandhari

Privati wa Mende (Clairmont, karne ya 3 - Mlima Mimat, 255/260) alikuwa askofu wa kwanza[1] wa mji huo, Galia, leo Ufaransa[2]) hadi alipouawa kwa kupigwa fimbo kwa ajili ya imani yake.
Alipatikana na wavamizi akiwa katika kikanisa akisali na kufunga akauawa kwa sababu alikataa kusaliti waumini wake kwa kutoa sadaka kwa miungu[3].
Tangu zamani anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ (Kifaransa) Félix Buffière, Ce tant rude Gévaudan, Tome I, p.176
- ↑ (Kifaransa) Félix Remize, Saint Privat, évêque du Gévaudan, IIème siècle, Mende, 1910
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/67110
- ↑ (Kifaransa) Gregori wa Tours, Histoire des Francs (V)
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |