Prasede wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Prasede alivyochorwa na Johannes Vermeer (1655 hivi).

Prasede wa Roma (alifariki mjini Roma, Italia, 165 hivi[1]) alikuwa Mkristo ambaye kwa heshima yake jijini Roma lilijengwa mapema kanisa maarufu[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu bikira na mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 21 Julai[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. de Voragine, Jacobus (1995). William Granger Ryan, ed. The Golden Legend Vol. 1. Princeton UP. p. 374. ISBN 978-0-691-00153-1. Retrieved 26 October 2010. 
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/63850
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.