Port of Spain

Port of Spain ni mji mkuu wa nchi ya Trinidad na Tobago.
Idadi ya wakazi ni watu 49,031; pamoja na sehemu za nje inafika nusu milioni[1]. Ni mji wa tatu kwa ukubwa nchini. Ilikuwa kama mji mkuu wake tangu miaka ya 1700.
Port of Spain ni kitovu muhimu cha biashara katika maeneo ya Karibi, hasa kutokana na bandari yake na soko la hisa.
Kiutamaduni ni mashuhuri kwa kanivali yake.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Trinidad and Tobago 2011 Population and Housing Census Demographic Report (Report). Trinidad and Tobago Central Statistical Office. p. 26. Archived from the original on 2016-10-09. https://web.archive.org/web/20161009090940/http://www.tt.undp.org/content/dam/trinidad_tobago/docs/DemocraticGovernance/Publications/TandT_Demographic_Report_2011.pdf?download. Retrieved 27 May 2016.
![]() |
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|