Port Said

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jiji la Port Said
Jiji la Port Said is located in Misri
Jiji la Port Said
Jiji la Port Said

Mahali pa mji wa Port Said katika Misri

Majiranukta: 31°15′0″N 32°17′0″E / 31.25000°N 32.28333°E / 31.25000; 32.28333
Nchi Misri
Mkoa Port Said
Tovuti:  www.portsaid.gov.eg/
Misri: Sehemu ya PortSaid (juu).
Mji wa Port Said, Misri
Mji wa Port Said, Misri

Port Said (kwa Kiarabu بورسعيد, inatafsirika kama Būr Saʻīd) ni mji wa nchi ya Misri, karibu kidogo na Mfereji wa Suez, ambao unakadiriwa kuwa na wakazi wapatao 500,000 waishio katika mji huo.

Mji wa Port Said, unasemekana kuwa na samaki wengi na viwanda. Viwanda vinavyopatikana huko ni pamoja na vya kampaundi, vyakula na sigara.

Port Said pia ni bandari muhimu kwa kusafirishia bidhaa za Misri kama vile pamba na mchele. Pia kuna kituo cha kujazia mafuta kwa meli ambazo zinapita kuelekea Suez.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Port Said kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.