Port Moresby

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Mji wa Port Moresby


Ramani ya Papua Guinea Mpya na Port Moresby

Port Moresby (9°30′S 147°12′E) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Papua Guinea Mpya. Kuna wakazi 255,000 (2000). Mji uko mwambanoni wa ghuba ya Papua upande wa kusini-mashariki wa kisiwa cha Guinea Mpya.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.