Port Harcourt

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Moja ya majengo ya Sekretarieti ya Jimbo huko Port Harcourt
Moja ya majengo ya Sekretarieti ya Jimbo huko Port Harcourt

Port Harcourt ni mji wa jimbo la Rivers, kusini mwa Nigeria.

Mwaka 2016 idadi ya wakazi wake ilikadiriwa kuwa 7,303,900.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Port Harcourt kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.