Dionisi wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Dionisi Mkuu.

Dionisi wa Aleksandria, aliyeitwa Mkuu[1], alikuwa Patriarki wa 14 wa mji huo wa Misri[2] tangu tarehe 28 Desemba 248 hadi kifo chake tarehe 22 Machi 264[3].

Mwenye elimu kubwa, alieshimika pia kwa wingi wa mateso aliyovumilia kwa ajili ya imani.

Mwaka 252 tauni ilipozuka mjini, yeye na mapadri wake walijitosa kuwahudumia walioambukizwa.

Baadaye alipelekwa uhamishoni wakati wa dhuluma ya kaisari Valerian na ya Galienus.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Aprili[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Called "the Great" by Eusebius, St. Basil, and others, he was characterized by the Catholic Encyclopedia as "undoubtedly, after St. Cyprian, the most eminent bishop of the third century... like St. Cyprian, less a great theologian than a great administrator."
  2. Eusebius of Caesarea, the author of Ecclesiastical History in the 4th century, states that Saint Mark came to Egypt in the first or third year of the reign of Emperor Claudius, i.e. 41 or 43 A.D. "Two Thousand years of Coptic Christianity" Otto F. A. Meinardus p28.
  3. Information on his work as Bishop of Alexandria is found in Dionysius' correspondence with other bishops and clergymen of the third century Christian Church. Dionysius’ correspondences included interpretations on the Gospel of Luke, the Gospel of John and the Book of Revelation.
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.