Pompili Maria Pirrotti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Pompili Maria alivyochorwa.

Pompili Maria Pirrotti, S.P. (Montecalvo Irpino, Avellino, 29 Septemba 1710 - Campi Salentina, Lecce, 15 Julai 1766) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki maarufu kwa ugumu wa maisha na kama mwalimu na mhubiri huko Italia Kusini[1].

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 26 Januari 1880, halafu Papa Pius XI alimtangaza mtakatifu tarehe 19 Machi 1934.

Sikukuu yake inaadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.