Pofu (jenasi)
Pofu | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Pofu milia
(Taurotragus derbianus) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Spishi 2:
|
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pofu, mbungu au mbunju ni wanyamapori wa jenasi Taurotragus katika familia Bovidae. Wanatokea savana zenye miti katika Afrika. Wanyama hawa ni wakubwa kuliko spishi nyingine za Bovidae za Afrika. Rangi yao ni kahawianyekundu, kahawia, hudhurungi au kijivu na mara nyingi wana milia ya wima mbavuni. Wana ngozi ndefu chini ya koo lao. Pembe zao ni ndefu kiasi, zile za jike ndefu kuliko zile za dume.
Spishi
- Taurotragus derbianus, Pofu Milia (Giant Eland)
- Taurotragus d. derbianus, Pofu Magharibi (Western Giant Eland)
- Taurotragus d. gigas, Pofu wa Kati (Eastern Giant Eland)
- Taurotragus oryx, Pofu (Common Eland)
- Taurotragus o. livingstonei, Pofu wa Livingstone (Zambezi Eland)
- Taurotragus o. oryx, Pofu Kusi (Cape Eland)
- Taurotragus o. pattersonianus, Pofu Kaskazi (East African Eland)
Picha
-
Pofu
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pofu (jenasi) kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.