Pixar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pixar


Pixar Animation Studios (au Pixar tu) ni studio ya ukaragushi ya Marekani. Inajulikana kwa uzalishaji wake wa juu wa taswira zilizotengenezwa na kompyuta (CGI).

Imekuwa ikifanya kazi pamoja na Disney kwa miaka mingi. Mwaka 2006, Disney alinunua kampuni hiyo.

Pixar ilianza kama mgawanyiko wa George Lucas 'Lucasfilm mwanzoni mwa mwaka 1979.

Mnamo 1986, Steve Jobs aliinunua kwa dola milioni 10. Jobs alikuwa mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji mpaka alipokufa mwaka 2011.

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pixar kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.