Faili:Mtemvu Takadir.JPG
Mtemvu_Takadir.JPG (piseli 759 × 569, saizi ya faili: 111 KB, aina ya MIME: image/jpeg)
Muhtasari[hariri | hariri chanzo]
Wanaonekana Zuberi Mtemvu (aliyeshika tama) aliyekuwa Katibu Mwenezi wa TANU akiwa na Sheikh Suleiman Takadir, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU na kushoto yake Mzee John Rupia Makamu wa Rais wa TANU wakiwa katika moja ya hafla za TANU katika tawi hilo. Rais wa TANU Mwalimu Nyerere haonekani amezibwa na John Rupia lakini mlinzi wake katika vijana wa BANTU Group anaoenakana amesimama karibu yake amevaa lubega.
Hatimiliki[hariri | hariri chanzo]
Picha hii imetolewa chini ya Laiseni Huria ya Umma "Attribution 3.0 Unported" . Maana yake: Uko huru kutumia picha hii, kuisambaza na pia kuibadilisha kama unataja muumbaji wake au mwenye kutoa laiseni asilia. Laiseni rasmi kwa Kiingereza
|
Historia ya faili
Bonyeza tarehe/saa kuona faili kama ilivyoonekana wakati huo.
Tarehe/Saa | Picha ndogo | Vipimo | Mtumiaji | Maelezo | |
---|---|---|---|---|---|
sasa hivi | 10:56, 17 Juni 2016 | 759 × 569 (111 KB) | Muddyb (majadiliano | michango) | Wanaonekana Zuberi Mtemvu (aliyeshika tama) aliyekuwa Katibu Mwenezi wa TANU akiwa na Sheikh Suleiman Takadir, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU na kushoto yake Mzee John Rupia Makamu wa Rais wa TANU wakiwa katika moja ya hafla za TANU katika tawi... |
Unaweza kuandika juu ya faili hii.
Matumizi ya faili
Ukurasa huu umeunganishwa na faili hili: