Petro Juliani Eymard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya mtakatifu Petro Juliani Eymard.

Petro Juliani Eymard (La Mure, Grenoble, Ufaransa, 4 Februari 1811 – La Mure, 1 Agosti 1868) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki, aliyeanzisha mashirika mawili ya kitawa.

Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI tarehe 12 Julai 1925, halafu mtakatifu na Papa Yohane XXIII tarehe 9 Desemba 1962.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 2 Agosti[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza Eymard "Mtume wa Ekaristi".[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Christian cross.svg Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.