Petro Juliani Eymard
Petro Juliani Eymard (La Mure, Grenoble, Ufaransa, 4 Februari 1811 – La Mure, 1 Agosti 1868) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki, aliyeanzisha mashirika mawili ya kitawa.
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI tarehe 12 Julai 1925, halafu mtakatifu na Papa Yohane XXIII tarehe 9 Desemba 1962.
Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 2 Agosti[1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza Eymard "Mtume wa Ekaristi".[2]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Pelletier SSS, Norman B., "Peter Julian Eymard: The Apostle of the Eucharist", Emmanuel Magazine. Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-11-06. Iliwekwa mnamo 2014-01-26.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Father Eymard's writing
- Letellier, Arthur. "Venerable Pierre-Julien Eymard." The Catholic Encyclopedia. Vol. 5. New York: Robert Appleton Company, 1909. 29 Jun. 2013
- Maisha yote na maisha ya kiroho ya Pierre-Julien Eymard kwa Kifaransa
- [http://web.archive.org/20130716185135/http://www.blessedsacrament.com/index2.html Archived 16 Julai 2013 at the Wayback Machine. Tovuti ya Shirika la Sakramenti Takatifu]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |