Peter Burling

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Burling mnamo 2018
Burling mnamo 2018

Peter Burling MNZM (alizaliwa Januari 1, 1991) ni baharia kutoka New Zealand.

Alishinda taji la unahodha Kombe la Amerika mwaka 2021, na alishinda Kombe la Amerika mwaka 2017 akiwa nahodha timu ya New Zealand, na alishinda medali ya dhahabu michuano ya Olimpiki 2016 na medali ya fedha kwenye michuano ya Olimpiki ya mwaka 2012 na 2020.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]