Mabingobingo
Mandhari
(Elekezwa kutoka Pennisetum purpureum)
| Mabingobingo (Pennisetum purpureum) | ||||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mabingobingo | ||||||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Mabingobingo ni spishi ya manyasi inayomea ndefu sana (m 2-4,5, pengine hadi m 7,5). Hupandwa sana katika Afrika ya Mashariki ili kulisha wanyama wafugwao.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]Picha
[hariri | hariri chanzo]- Masuke
- Kenya