Mabingobingo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Pennisetum purpureum)
Mabingobingo
(Pennisetum purpureum)
Mabingobingo
Mabingobingo
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae (Mimea iliyo mnasaba na manyasi)
Nusufamilia: Panicoideae
Jenasi: Pennisetum
Pers.
Spishi: P. purpureum
Schumach.

Mabingobingo ni spishi ya manyasi inayomea ndefu sana (m 2-4,5, pengine hadi m 7,5). Hupandwa sana katika Afrika ya Mashariki ili kulisha wanyama wafugwao.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]