Peni
Mandhari

Peni (kutoka Kiingereza "pen") ni kifaa ambacho kimejazwa wino ambao husaidia katika kuandika mambo mbalimbali.
Faida
[hariri | hariri chanzo]1. Hutusaidia kumbukumbu, kwa mfano ya masomo
2. hutusaidia kuchora mambo muhimu, kwa mfano ramani za majumba
Hasara
[hariri | hariri chanzo]1. Hasara mojawapo ya peni ni pamoja na uchafuzi wa mikono na nguo kutokana na uwekaji mbaya.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |